Friday, February 3, 2012

MAJUMUISHO


Katika mafunzo ya siku tano yaliyoanza Januari 30 hadi leo Februari 3, sisi kama washiriki na waandamizi katika tasnia ya habari tumepata mafanikio makubwa sana kutokana na mada zilizotolewa na wakufunzi.

Mada kuu katika mafunzo hayo ilikuwa ni jinsi ya kutumia mtandao wa Internet katika kazi za uandishi wa habari na kupata taarifa mbalimbali kwa urahisi kwa njia ya kisasa zaidi.

Katika mada hiyo tumejifunza na kuelewa jinsi ya kufungua blog zetu wenywe, jinsi ya kutumia blog kwa faida za kitaaluma, kuthibitisha ukweli wa taarifa mbalimbali kwa kutumia mtandao na kufanya uchunguzi kwa kutumia mtandao.

Binafsi nimehamasika kujifunza zaidi jinsi ya kutumia mtandao katika taaluma ya habari na kupata taarifa  toka kila kona ya dunia kwa urahisi zaidi kuliko ilivyokuwa awali.

Kutokana na mafanikio makubwa niliyopata nitahakikisha nawashirikisha wenzangu kuanzia Ofisini yangu, na wana taaluma kwa ujumla kuhusu umuhimu wa kutumia interenet katika kutafuta taarifa, kuthibitisha ukweli wa taarifa hizo kutoka vyanzo mbalimbali, kujifunza mambo mapya katika tasnia ya habari na kwenda na wakati kulingana na mabadiliko ya dunia ya sayansi na teknolojia.

Pia nimeongeza uwezo zaidi wa kusoma na kutumia vyanzo vingine bila kuvunja maadili ya uandishi wa habari.
Kutokana na elimu hii naamini utendaji wangu wa kazi utabadilika kwa kuwa nimeongeza ujuzi katika kutafuta taarifa mbalimbali kutoka nje ya nchi kwa njia ya mtandao kwa urahisi zaidi kuliko zamani ikiwemo kuweka baadhi ya taarifa kwenye blog yangu.

Hata hivyo ni wakati muafaka kwa wadau wa habari nchini hususan wamiliki wa vyombo vya haabri pamoja na serikali kuangalia uwezekano wa kutoa elimu hii kwa wana habari nchini badala ya kusubiri misaada kutoka nje kwa kila jambo.

Pia mafunzo kama haya yatolewe kwa waandishi wa habari wengine wa kawaida ambao ndio watendaji wakuu katika vyombo vyetu vya habari kwani bila kufanya hivyo ni sawa na kufundisha Makamishna wa Polisi mbinu za kuzuia uhalifu bila kuwashirikisha askari wa kawaida mbinu hiyo.


NA BASHIR NKOROMO, MUSOMA

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeukabidhi mkoa wa Mara tani za saruji kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mkoani humo ikiwa ni sehemu ya maadhimnisho ya miaka 35 ya CCM.

Saruji hiyo itatumika kujenga madarasa kwa ajili ya wanafunzi ambao wameshindwa kuanza kidato cha kwanza kutokana na uhaba wa madarasa licha ya kufaulu mwaka huu.

Akikabidhi mifuko hiyo kwa mkuu wa mkoa huo, John Tupa, Katibu wa NEC ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alisema saruji hiyo imetolewa na makada wa CCM ambao wameamua kutoa mchango huo kwa kupitia CCM ikiwa ni kuunga mkono maadhimisho ya miaka 35 ya kuzaliwa kwa CCM.

Nape alisema makada hao ni Zulfikar Nanji wa Kampuni ya  Mwanza Huduma Ltd (mifuko 400) Joseph 'Msukuma' Kasheku  mfanyabiashara ambaye pia Diwani wa Kata ya Nzela, Geita na Mjumbe wa NEC, Vedastus Mathayo ambao wote wametoa mifuko 100 kila mmoja.

Alisema kada mwingine ni Dk. Isack Chacha Ng'ariba ambaye aliahidi kutoa tani 200 za saruji ahadi ambayo aliitoa papo hapo wakati wa makabidhiano hayo.

Nape aliwashukuru wafanyabiashara makada hao wa CCM kwa kuiunga mkono CCM katika kuhakikisha kwamba sherehe za miaka 35 ya CCM inakuwa na mafanikio makubwa kwa kutekeleza azma ya kuchangia shughuli za maendeleo.

Alisema, wafanyabiashara na makada hao wanaichangia CCM pia kama kuonyesha shukurani yao kwa kuweza kufanya biashara zao kwa miaka mingi katika mazingira ya amani na utulivu chini ya uongozi wa serikali ya CCM.

"Mkiona vinaelea vimeundwa, amani na utulivu huu uliopo ni mazingira yaliyojngwa na kuendelea kutunzwa na CCM tangu ilipoanza kutawala nchi hii baada ya kurithi uongozi kutoka vyama vya TANU NA ASP miaka 35 iliyopita", alisema Nape.

Akipokea msaada huo, Mkuu wa mkoa alisema, jumla ya watoto  6486 kati ya asilimia 50.3 ya watoto waliofaulu, wameshindwa kuanza kidato cha kwanza mkoani mwake kutokana uhaba wa vyumba vya madarasa licha ya kufaulu.

Mkuu huyo wa mkoa alisema mkoa unahitaji madarasa 718 wakati yaliyopo ni 479 na hiyo kuwa na upungufu wa madawati 239 na kwamba wilaya ya Bunda ndiyo inayoongoza kuwa upungufu wa madarasa.

Alisema licha ya kupata msaada huo wa saruji bado mkoa unahitaji mabati, mbao na madawati kwa ajili ya madarasa yatakayojengwa.

Thursday, February 2, 2012

WANGARI MAATHAI

Historical background
ONE of the woman who can not be forgotten in Africa or world is the late Professor Wangari Maathai, because of her work with women to improve their livelihoods by increasing their access to resources in Kenya.
The strong woman was born On 1 April 1940, in the village of Ihithe, Nyeri Districtthe Central Hihlands in Kenya, her family were Kikuyu tribe and her use most of time to make sure that woman of Kenya are in safe side and make step to develompment.
Professor Maathai get her Primary education at St. Cecilia's Intermediate Primary School at the Mathai Nyeri and became fluent in English from her school and She also was involved with the Christian society known as the Legion Mary which is the one of femarius regilion in Kenya.
Maathai was sheltered from the ongoing Mau Mau uprising whhich forced her mother to move from their homestead to an emergency village in Ihithe. When she completed her studies there in 1956, she was rated first in her class, and was granted admission to the only Catholic high school for girls in Kenya, Loreto High Schol Limuru in Limiru.
Her was planned to attend the University of East Afrika in Kampka Uganda after  graduating from Loreto-Limuru in 1959 but end of the colonial period of East Africa was nearing, and Kenyan politicians, such as Tom Mboya  where proposing ways to make education in Western nations Maathai became one of about three hundred Kenyans chosen to study at American universities in September 1960.
Professor Maathai is the one who received a scholarship to study at Mount St. Scholastica College (now Benedictine and after receiving her bachelor of science degree in 1964, she studied at the University of Pittsburgh master’s degree in biology.
Her graduate studies there were funded by the Africa –America Institute and during her time in Pittsburgh she first experienced environmental restoration local environmentalists pushed to rid the city of air pullution In January 1966, Maathai was awarded her MSc in biological sciences and was appointed to a position as research assistant to a professor of zoology at University college of Nairobi Kenya.
Change of her name
The woman dropped her Christian name after return to Kenya from abroad for futher study preferring to be known by her birth name, Wangari Muta.. Maathai believed this was because of gender and tribal bias.
Her capacity in leadership was seen earlier after on two months as a research thus  Professor Reinhold Hofmann, from the University of Giessen Germany offered her a job as a research assistant in the Microanatomy section of the newly established Department of Veterinary Anatomy in the School of Veterinary Medicine at University College of Nairobi.
Professor Maathai who met Mwangi Mathai, another Kenyan who had studied in America who would later become her husband became famous after started to be marking World Environment Day in Nairobi 1977 after more study in the University of Giessen  Germany to pursuit of a doctorate and the University of Munich.
Professor Maathai who was the woman with courage after return in Kenya 1969 she continue with her studies at the University College of Nairobi as an assistant lecturer.
During the course of the election, Tom Mboya, who had been instrumental in founding the program which sent her overseas, was assassinated. This led to President Kenyatta effectually ending multi-party democracy in Kenya.
The sauces who knows Professor Maatahi well said, In 1971, she became the first woman to receive a PhD in Eastern Africa, when she was granted a Doctorate. Her daughter.
Our Source added that Professor Maathai start the environmental and to planting of trees to conserve the environment, involving ordinary people in the process. This led to the planting of her first tree nursery, collocated with a government tree nursery in Karura forest in Kenya in June 1976.
She was start planting trees On 5 June 1977, marking World Environment Day, the NCWK marched in a procession from Kenyatta International Conference Centre in downtown Nairobi to Kamukunnji park the outskirts of the city where they planted seven trees in honor of historical community leaders, said our source.
This was the first "Green Belt" which was first known as the "Save the Land Harambee" and then became Green Belt movement.
Professor Maathai encouraged the women of Kenya to plant tree nurseries throughout the country, searching nearby forests for seeds to grow trees native to the area and agreed to pay the women a small stipend for each seedling which was later planted elsewhere.
Professor Maathai and her husband, Mwangi Mathai, separated in 1977. After a lengthy separation Mwangi filed for divorce in 1979. Mwangi was said to have believed Wangari was "too strong-minded for a woman" and that he was "unable to control her" In addition to naming her as "cruel" in court filings, he publicly accused her of adultery with another Member of Parliament,.
was much more difficult to come by, but the NCWK survived by increasing its focus on the environment and making its presence and work known. Maathai continued to be reelected to serve as chairman of the organization every year until she retired from the position in 1987.
In 1982, the Parliamentary seat representing her home region of Nyeri was open, and Maathai decided to campaign for the seat. As required by law, she resigned her position with the University of Nairobi to campaign for office. The courts decided that she was ineligible to run for office because she had not re-registered to vote in the last presidential election in 1979. Maathai believed this to be false and illegal and brought the matter to court. The court was to meet at nine in the morning, and if she received a favourable ruling, was required to present her candidacy papers in Nyeri by three in the afternoon that same day. The judge disqualified her from running on a technicality. When she requested her job back, she was denied. She believes this was because President Daniel arap Moi, who she deemed to be against her, was also the Chancellor of the University of Nairobi. As she lived in university housing and was no longer a member of staff, she was evicted from her home.
Prof. Wangari Muta Maathai started the Green Belt Movement in 1977, working with women to improve their livelihoods by increasing their access to resources like firewood for cooking and clean water. She became a great advocate for better management of natural resources and for sustainability, equity, and justice.
The basic program ideas of the Green Belt Movement was ;

About tree planting program

Green Belt Movement (GBM) tree-planting activities follow a unique 10-step program which engages communities in forming tree nurseries and planting seedlings on public lands, degraded forest areas, and private farms. The 10-step tree-planting procedure also includes Civic & Environmental Education  seminars for all community members.

45 million trees was planted in Kenya in order to increase national forest cover and restore essential ecosystems.

To date, GBM has planted trees in the Mt. Kenya, Abrades and Mau Complex areas. The next phase of planting will include planting in Mt. Elgon and Cherengani Hills. Together these five areas constitute the five “water towers” of Kenya, which are water catchments areas that provide over 90% of Kenya’s population with water.


Green Belt Movement
In the latter half of the 1980s, the Kenyan government came down against Maathai and the Green Belt Movement. The single-party democracy was against many of the stances the movement taught pertaining to rights and democracy.
The government invoked a colonial-era law prohibiting groups of more than nine people from meeting without first obtaining a government license. In 1988, the Green Belt Movement carried out pro-democracy activities such as registering voters for the election and pressing for constitutional reform and freedom of expression. The government, however, was not interested in reform and carried out electoral fraud in the elections to maintain power.
During the first multi-party election in Kenya ina 1992. The Forum for the Restoration of Democracy (FORD) had fractured into Ford Kenya  led by Jaramagi Oginda Odinga and Ford asili led by Keneth Matiba, Professor Maathai and many others believed such a fractured opposition would lead to KANU's retaining control of the country, so they formed the Middle Ground Group in an effort to unite the opposition. Maathai was chosen to serve as its chairperson.
The following year, tribal clashes occurred throughout Kenya. Maathai believed they were incited by the government, who had warned of stark consequences to mulct part.
Award and Honors
The internatinal Community recognized the Prof. Mangari noble contribution and awarded her several awards.
Nobel Peace Prize 2004
In 2004 Prof. Maathai was awarded the 2004 Nobel Peace Prize in recognation of her work for sustainable development, democracy, peace etc. He became the first African woman, and the first environmentalist, to win the prize.
She has got the Nobel Peace Prize 2004 because of her commitment about environmental issues.
Later life 2005-2011
Professor Maathai was elected to  be the first president of the African Union Economic ,Socila and Cultural Coucil On 28 March 2005, and was appointed a goodwill ambassador for an initiative aimed at protecting the Congo basin Forest Ecosystem.
In 2006 she was one of the eight flag bearers at the 2006 winter Olympics opening ceremony  and on 21 May 2006, she was awarded an honorary doctorate by and gave the commencement address at Connecticut colege.
Professor Maathai was the founders of the Nebel Women’s Initiative along with sister Nobel Peace laureates Jody Willams, Shirin Ebadi,Rogoberta Menchu Tum,Betty Williams and Mairead Corrigan maguire.

Environmentalism

A Green Belt Movement couple plant a tree. Photo by Mary Davidson, 1999.
Quotation of Professor Maathai to young people.

“I would like to call on young people to take inspiration from the Nobel Peace Prize. I want them to know that despite the challenges and constraints they face, there is hope. I want to encourage them to serve the common good. My experiences have taught me that service to others has its own special rewards. I also have a lot of hope in youth. Their minds do not have to be held back by old thinking about the environment. And you don’t have to be rich or give up everything to become active. Even simply using both sides of a piece of paper before recycling is conserving the environment. The situation, however, is serious because the youth of today will experience the consequences of their elders’ mismanagement of the environment. Unless we change course, the coming generations will inherit an impoverished environment that will mean a hungrier, less fertile, and more unstable world. More conflicts will erupt. Young people need to become involved in promoting environmental sustainability. Through the Green Belt Movement we have helped young people get involved in environmental activities. We have tried to instill in them
Prof. Maathai past away last year with cancer disease.

Wednesday, February 1, 2012

issues to media

Mr. Murdoch is a professional Journalist acoding to his speech to the American Editors.
But its to difficult for the African Journalist like Tanzania to understand him because of technogy problems especialy use of internet. Most of people in Tanzania use News Paper and Radio station to get information but not Internet.
Our chalenge us a Journalist is to push the Gorverment to add budget to Ministr of Education to educate most of Tanzania in the village about new technology.
But another chalenge is to how most of Tanzanian can use new technology whether there is no electricity power in the village? So this is the time for Tanzanians to discuss this issue ine dipper 
 Thanks for your very analical speech.